Artwork

Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Player FM - Podcast-app
Gå offline med appen Player FM !

UNMISS ziarani Nadiangere na uzinduzi wa shule ya msingi

1:47
 
Del
 

Manage episode 425393952 series 2027789
Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Ikiwa ni moja ya majukumu yake, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS wakishirikiana na mamlaka za mitaa za nchi hiyo umefanya ziara maalum katika Kijiji cha Nadiangere na kusikiliza kero za wananchi pamoja kuzindua shule mpya ya msingi. Ndege ya UNMISS ikiwa na timu ya walinda amani na wawakilishi kutoka serikali za mitaa inafika kijiji cha Nadiangere kilichoko katika jimbo la Equatorial Magharibi na kulakiwa kwa shamsham na wananchi wa kijiji hicho wakiamini msemo wa Kiswahili usemao “Mgeni njoo mwenyeji apone.” Katika mkutano wa pamoja, wananchi hao walieleza changamoto wanazokabiliana nazo ikiwemo ukosefu wa huduma za kimsingi kama viles hule, huduma za afya pamoja na usalama. Wananchi hao wakaeleza uhaba huu umechangiwa na kuwasili kwa wakimbizi wa ndano wanaokimbia kuzuka kwa vurugu za wenyewe kwa wenyewe hivi karibuni huko karibu na eneo la Tambura. Severina Angelo mwenye umri wa miaka 21, mama wa watoto wawili akapaza sauti.“Tumechoka sana, tunahitaji amani, tumeshateseka sana. Tunahitaji shule, tunahitaji hospitali na vitu vingine vingi ambavyo tunakosa.”Jane Lanyero Kony, Ni Mkuu wa Ofisi ya UNMISS kwa jiji la Yambio na anawaeleza wanakijiji hao kuwa “Subira yavuta heri.”“Unajua sisi tuko hapa kusikiliza changamoto zenu ni zipi na kisha tunaporudi ofisini tunaenda kuangalia ni kwa kiwango gani tunaweza kuhamasisha upatikanaji wake miongoni mwa jumuiya ya Umoja wa Mataifa. Kama UNMISS, tunaendelea kufanya kile ambacho ni mamlaka yetu, ambacho ni, ulinzi wa raia. Tunaendelea kufanya kazi na serikali, ili kukamilisha juhudi zao za kulinda kila raia nchini Sudan Kusini.”Mbali na kuwasikilisha wananchi pia wamezindua shule ya msingi iliyojengwa kwa ufadhili wa UNMISS katika eneo hilo. Shule hiyo ina vyumba vitatu vya madarasa, ofisi ya walimu, na inatoa mazingira bora ya kujifunzia kwa zaidi ya wasichana na wavulana 300.
  continue reading

100 episoder

Artwork
iconDel
 
Manage episode 425393952 series 2027789
Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Ikiwa ni moja ya majukumu yake, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS wakishirikiana na mamlaka za mitaa za nchi hiyo umefanya ziara maalum katika Kijiji cha Nadiangere na kusikiliza kero za wananchi pamoja kuzindua shule mpya ya msingi. Ndege ya UNMISS ikiwa na timu ya walinda amani na wawakilishi kutoka serikali za mitaa inafika kijiji cha Nadiangere kilichoko katika jimbo la Equatorial Magharibi na kulakiwa kwa shamsham na wananchi wa kijiji hicho wakiamini msemo wa Kiswahili usemao “Mgeni njoo mwenyeji apone.” Katika mkutano wa pamoja, wananchi hao walieleza changamoto wanazokabiliana nazo ikiwemo ukosefu wa huduma za kimsingi kama viles hule, huduma za afya pamoja na usalama. Wananchi hao wakaeleza uhaba huu umechangiwa na kuwasili kwa wakimbizi wa ndano wanaokimbia kuzuka kwa vurugu za wenyewe kwa wenyewe hivi karibuni huko karibu na eneo la Tambura. Severina Angelo mwenye umri wa miaka 21, mama wa watoto wawili akapaza sauti.“Tumechoka sana, tunahitaji amani, tumeshateseka sana. Tunahitaji shule, tunahitaji hospitali na vitu vingine vingi ambavyo tunakosa.”Jane Lanyero Kony, Ni Mkuu wa Ofisi ya UNMISS kwa jiji la Yambio na anawaeleza wanakijiji hao kuwa “Subira yavuta heri.”“Unajua sisi tuko hapa kusikiliza changamoto zenu ni zipi na kisha tunaporudi ofisini tunaenda kuangalia ni kwa kiwango gani tunaweza kuhamasisha upatikanaji wake miongoni mwa jumuiya ya Umoja wa Mataifa. Kama UNMISS, tunaendelea kufanya kile ambacho ni mamlaka yetu, ambacho ni, ulinzi wa raia. Tunaendelea kufanya kazi na serikali, ili kukamilisha juhudi zao za kulinda kila raia nchini Sudan Kusini.”Mbali na kuwasikilisha wananchi pia wamezindua shule ya msingi iliyojengwa kwa ufadhili wa UNMISS katika eneo hilo. Shule hiyo ina vyumba vitatu vya madarasa, ofisi ya walimu, na inatoa mazingira bora ya kujifunzia kwa zaidi ya wasichana na wavulana 300.
  continue reading

100 episoder

כל הפרקים

×
 
Loading …

Velkommen til Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Hurtig referencevejledning