Artwork

Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Player FM - Podcast-app
Gå offline med appen Player FM !

Jengo la uchunguzi wa magonjwa ya mlipuko mpakani Mutukula lakabidhiwa kwa serikali ya Tanzania

1:53
 
Del
 

Manage episode 424785986 series 2027789
Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni (WHO) nchini Tanzania kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), hivi karibuni limekabidhi kwa Wizara ya Afya nchini humo jengo maalumu kwa ajili ya kuwahudumia wanaohisiwa kuwa na magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza wanapopita katika mpaka wa Mutukula unaounganisha Tanzania na Uganda kaskazini. Hatua hii ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mapema dhidi ya milipuko ya magonjwa imekuja ukiwa umetimia mwaka mmoja kamili tangu mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya virusi vya Marburg ulipotangazwa kuisha kabisa nchini Tanzania baada ya kuwa umetokea mwanzoni mwa mwaka jana 2023 katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa nchi.Dkt. Janeth Masuma, Afisa wa Kitengo cha WHO Tanzania cha kuzuia na kudhibiti maambukizi anasema, “kwa hiyo kwa kuwa na mafanikio haya makubwa ya jengo la utambuzi wa wagonjwa katika mpaka wa Mutukula kutasaidia uchunguzi wa haraka na kuwatenganisha wote wanaohisiwa kuwa na maambukizi ili kuhakikisha mipaka yote imelindwa, kulinda nchi nyingine na kuhakikisha kwamba hakuna wasafiri wowote watapeleka ugonjwa nje ya Tanzania kwa mujibu wa mapendekezo na wajibu wa afya kimataifa.”Salum Rajab Kimbau, Mratibu wa Chanjo wa Mkoa wa Kagera anaeleza ilivyo faida kubwa kuwa na jengo la namna hii mpakani akisema, “huu mradi kiujumla una faida kwenye mkoa. Tumeupokea na kufurahi na pia furaha hii iko upande wa halmashauri ya mkoa n anchi kwa ujumla. Mradi una sehemu mbili za matibabu na kinga. Awali tulikuwa tunatumia hema moja ambalo lilikuwa linakusanya wahisiwa wote wa kike na wa kiume lakini hata mazingira yenyewe siyo rafiki kwa maana ya joto kali lakini pia akiingia mgonjwa badala ya kupona kwa haraka au badala ya kukaa kustahimili vizuri inakuwa kazi.”Kituo hiki ni moja ya afua nyingi zinazoendelea ili kuhakikisha uimarishaji wa mifumo ya afya nchini Tanzania ili kuongeza kasi ya ajenda ya afya kwa wote.
  continue reading

100 episoder

Artwork
iconDel
 
Manage episode 424785986 series 2027789
Indhold leveret af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Alt podcastindhold inklusive episoder, grafik og podcastbeskrivelser uploades og leveres direkte af UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations eller deres podcastplatformspartner. Hvis du mener, at nogen bruger dit ophavsretligt beskyttede værk uden din tilladelse, kan du følge processen beskrevet her https://da.player.fm/legal.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni (WHO) nchini Tanzania kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), hivi karibuni limekabidhi kwa Wizara ya Afya nchini humo jengo maalumu kwa ajili ya kuwahudumia wanaohisiwa kuwa na magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza wanapopita katika mpaka wa Mutukula unaounganisha Tanzania na Uganda kaskazini. Hatua hii ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mapema dhidi ya milipuko ya magonjwa imekuja ukiwa umetimia mwaka mmoja kamili tangu mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya virusi vya Marburg ulipotangazwa kuisha kabisa nchini Tanzania baada ya kuwa umetokea mwanzoni mwa mwaka jana 2023 katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa nchi.Dkt. Janeth Masuma, Afisa wa Kitengo cha WHO Tanzania cha kuzuia na kudhibiti maambukizi anasema, “kwa hiyo kwa kuwa na mafanikio haya makubwa ya jengo la utambuzi wa wagonjwa katika mpaka wa Mutukula kutasaidia uchunguzi wa haraka na kuwatenganisha wote wanaohisiwa kuwa na maambukizi ili kuhakikisha mipaka yote imelindwa, kulinda nchi nyingine na kuhakikisha kwamba hakuna wasafiri wowote watapeleka ugonjwa nje ya Tanzania kwa mujibu wa mapendekezo na wajibu wa afya kimataifa.”Salum Rajab Kimbau, Mratibu wa Chanjo wa Mkoa wa Kagera anaeleza ilivyo faida kubwa kuwa na jengo la namna hii mpakani akisema, “huu mradi kiujumla una faida kwenye mkoa. Tumeupokea na kufurahi na pia furaha hii iko upande wa halmashauri ya mkoa n anchi kwa ujumla. Mradi una sehemu mbili za matibabu na kinga. Awali tulikuwa tunatumia hema moja ambalo lilikuwa linakusanya wahisiwa wote wa kike na wa kiume lakini hata mazingira yenyewe siyo rafiki kwa maana ya joto kali lakini pia akiingia mgonjwa badala ya kupona kwa haraka au badala ya kukaa kustahimili vizuri inakuwa kazi.”Kituo hiki ni moja ya afua nyingi zinazoendelea ili kuhakikisha uimarishaji wa mifumo ya afya nchini Tanzania ili kuongeza kasi ya ajenda ya afya kwa wote.
  continue reading

100 episoder

כל הפרקים

×
 
Loading …

Velkommen til Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Hurtig referencevejledning